Friday, 1 January 2016

Tin! Wanawake nyuma ya gurudumu! Hali ya ajabu, wakati kijinga

Ni ambapo inapaswa kutoroka kuendelea kufanya hii juu ya barabara... tu furaha, ambayo inaweza kupatikana nyuma ya ..habari zaidi

Baraza la mitihani linasema kuwa Grade Ranges za Mitihani hazijabadilika

http://www.necta.go.tz/view_news?id=98

 



Usajili wa Watahiniwa wa Kujitegemea na QT 2016 umeanza

http://www.necta.go.tz/view_news?id=97

MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2015 TAZAMA HAPA 

http://www.necta.go.tz/

 

CHAMA cha walimu wilayani Bahi mkoani Dodoma (CWT), kimemtaka Rais Dk, John Magufuli, kuhakikisha anasimamia madeni ya walimu wanayoyadai kwa kipindi kirefu ili waweze kulipwa katika awamu hii ya tano ili waweze kusimamia kwa ufanisi dhana ya utoaji elimu bure.
Rai hiyo ilitolewa na Mwenyekiti wa chama hicho wilayani Bahi, Samwel Mlugu, wakati alipokuwa akizungumza na waandhishi wa habari mjini hapa mara baada ya hafla fupi ya kuwapatia msaada wa mabati walimu wastaafu.habari zaidi soma hapa