Ni muda mrefu umepita tangu beef ya mastaa wawili kutoka pande za Marekani Drake na Tyga ziingie kwenye headlines, Drake na Tyga beef kati yao ilijulikana mwaka 2014 baada ya Tyga kutoa kauli hii kuhusu Drake alipohojiwa na Vibe Magazine.
“I
don’t like Drake as a person. He’s just fake to me. I like his music,
you know what I’m saying? I think his music is good, but we’re all
different people. (…) We were forced together and it was kinda like we
were forcing relationships together.” >>> Tyga
Baada ya hapo Drake alijibu maneno ya Tyga kupitia hit Single yake ya 6 PM in New York
“I heard a lil lil homie talking reckless in Vibe / Quite a platform
you chose, you shoulda kept it inside / Oh you tried, it’s so childish
calling my name on the world stage / You need to act your age and not
your girl’s age” >>> Drake. kwa habari zaidi click hapa
No comments:
Post a Comment